TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia Hussein Ibrahim Taha, aliyewahi kuwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Chad ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC akichukua nafasi iliyokuwa ikishikiliwa Msaudia Yousef bin Ahmad Al-Othaimeen.
Habari ID: 3473404 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/29